Thursday, March 19, 2015

HISTORIA YA FIZIKIA

Kwa mujibu wa Asger Aaboe, chanzo cha astronomia wa kimagharibi waweza patikana mesopotamia, na juhudi zote za wazungu kuelekea sayansi ya uhalisia zimerithiwa kutoka astronomia wa kale wa kibabilonia. Wanaastronomia wa kimisri waliacha alama katika makaburi na kumbukumbu zingine juu ya makundi nyota na mienendo ya maumbo mengine katika samawati( maumbosamawati/magimba) mengine. Wakati mshairi wa kigiriki Homer aliandika juu ya maumbosamawati tofauti katika Iliad na Odyssey; baadae wanaastronomia wa kigiriki waliyapa majina makundi nyota mengi yanayoonekana katika kizio cha kaskazini cha dunia, majina ambayo bado ya natumika hadi leo. Falsafa ya asili. Falsafa ya asili ina chanzo chake huko Ugiriki wakati wa kipindi cha Archaid, (650 K.K– 480K.K), ambapo wanafalsafa wa kabla ya Socrates kama Thales waliyakataa maelezo yasiyo ya kiasili kwa matukio ya kiasilia na kutangaza kwamba kila tukio lilikua na sababu za kiasili. Walipendekeza kwamba mawazo lazima yathibitishwe na sababu makini na uoni na nyingi katika nadharia zao zilithibitishwa kwa mafanikio makubwa katika majaribio mbalimbali, kwa mfano, nadharia ya atomi ilijulikana kuwa sahihi takribani miaka 2000 baada ya kupendekezwa mara ya kwanza na Leucippus and his ma mwanafunzi wake Democritus. Fizikia ya kale Sir Isaac Newton (1643–1727), Alianzisha sheria zake za mwendo na uvutano ambazo zilikua ni upigaji mkubwa wa hatua katika classical physics. Fizikia ilipata kuwa somo peke yake la sayansi wakati wauropa wakisasa wa kale walipoanza kutumia njia za kimajaribio na upimajiexperimental kugungua ambacho leo kinachukuliwa ni sheria za fizikia Maendeleo makubwa katika kipindi hiki yalijumlisha ubadilishaji wa mfumo wa jua unaofata mtindo wa jiosentriki kuwa mtindo wa heliosentriki wa Bwana Copernicus, sheria zinazotawala miendo ya sayari katika iliamuliwa na Johannes Kepler kati ya 1609 na 1619, kazi za mwanzo katika darubini na unajimu wa kiuchunguzi vilifanywa na Galileo Galilei katika karne ya 16 na 17, na ugunduzi wa Isaac Newton na muunguno wa sheria za mwendo na sheria za kiujumla za uvutano ambazo zilikuja kubeba jina lake ulifanyika.Newton pia aliendeleza kalikulasi, somo la mahesabu ya manadiliko, ambalo lilileta njia mpya ya kukokotoa matukio ya kiumbo. Ugunduzi wa sheria mpya za mwendo-joto[[thermodynamics]], kemia na umemesumaku ulitokana na juhudi kubwa za uchunguzi katika kipindi cha mapinduzi ya viwanda kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya nishati .Sheria zenye maudhui ya classical physics ziliendelea luwa na matumizi makubwa katika matukio ya kila siku ambabo maada ilisafir na miendokasi isiyokarobia ule wa mwanga kwa kuwa yalitoa majibu yenye makadirio ya karibu zaidi, na nadharia kama kwanta ya kimakenika na ile ya rilativiti zilorahisika kuelekea kutoa majibu kama yaliyotolewa na classical physics. Hata hivyo makosa katika claasical hasa kwa vitu vidogo zaidi na vile vyenye mwendo karibia ule wa mwanga vilipelekea kuendelezwa kwa fizikia ya kileo katika karne ya 20 However, inaccuracies in classical mechanics for very small objects and very high v Fizikia ya kileo Kazi za Albert Eins.tein (1879–1955), katika athari za kifotoelektriki na nadharia rilativiti ilipekea mapinduzi ya fizikia katika karne ya 20. Max Planck (1858–1947),alianzilisha nadharia ya kwanta ya kimakenika. Fizikia ya kileo ilianza mwanzoni mwa karne ya ishirini kutokana na kazi ya Max Planck kwenye nadharia ya kwanta nadharia ya rilativiti Albert Einstein. Zote kwa pamoja nadharia hizi zilikuja kwa sababu ya majibu yasiyo sahihi sana [[in accurate answers]]yaliyotolewa na classical mechanics katika baadhi ya matukio. Classical mechanics ilitabiri mabadiliko ya mwendokasi wa mwanga, jambo ambalo lilishindwa kutatuliwa na mwendokasi usiobadilika uliotabiriwa na milinganyo ya umemesumaku ya Maxwell ; utata huu ulirekebishwa na nadharia ya Einstein rilativiti maalum, ambayo iichukua nafasi ya classical mechanics kwa vitu vinavyokwenda kwa spidi kubwa zaidi na ikaruhusu mwendo wa mwanga usiobasilika. Mnururisho wa vitu vyeusi pia ulikua tatizo lingine kwa classical physics, ambalo lilitatuliwa wakati Planck alipopendekeza kwamba mwanga husafiri katika mfumo wa vifurushi vidogovidogo vinavyoitwa fotoni; this, pamoja na athari za fotoniumeme na nadharia nzima inayotabiri ngazi zilizojitenga za njiamzingo za elektroni , ilipelekea kwenye nadharia ya vifurushikimakenika kushika nafasi ya classical physics katika mizania ndogo sana. [[Vifurushikimakenika]] (Quantum mechanics) ilianzishwa kutokana na kazi za mwanzo za akina Werner Heisenberg, Erwin Schrödinger na Paul Dirac. Kutokana na kazi hizo za mwanzo kila mmoja katika tasnia yake muundo wa kiwango kinachotambulika wa fizikia ya hardali/ vitu vidogo ilipatikana . kufuatia ugunduzi wa tabia za hardali zinazokubaliana na Higgs boson katika kituo cha CERN mwaka 2012, hardali zote za msingi ziliweza kutabiriwa na muundo unaotambulikana, na hakuna hardali zingine zilizoonekana kupatikana, hata hivyo fiIkia zaidi ya muundo unaotambulika, na nadharia kama za supersymmetry, ni katika mambo yanayoendelea kufanyiwa utafiti hivi leo

No comments:

Post a Comment